MIELEKEO YA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TATU NA CHA NNE KUHUSU METHALI KINZANI: UCHUNGUZI KATIKA SHULE ZA UPILI KATIKA KATA YA TOWNSHIP, KAUNTI YA KITUI; KENYA.

Journal Title: International Journal of Advanced Research (IJAR) - Year 2018, Vol 6, Issue 10

Abstract

Ukinzani ni dhana ambayo imefasiliwa kama ubishi au upinzani. Ukinzani katika methali za Kiswahili unaweza kufasiliwa kama unyume wa kimaana unaoletwa na methali ambazo ziko katika jozi moja na zinazotoa maana zilizo kinyume. Methali za Kiswahili zina maana na ili maana hiyo ijitokeze kwa namna inayofaa, kila methali inapaswa kutumika katika mazingira yanayooana na maana ya methali mahususi. Methali zina jukumu la kuonya, kusifu, kukashifu, kuelekeza, kuliwaza na kadhalika. Aidha, katika fasihi ya Kiswahili kuna jozi za methali zilizo na maana kinyume. Kwamba, methali moja inakuelekeza huku na nyingine inakupa mwelekeo unaotofautina na ule wa awali. Katika hali kama hii, mtumiaji lugha na mwanajamii kwa jumla anaweza kupatwa na utata wa mwelekeo atakaoufuata. Methali zinapotoa maana zinazopingana basi utata unaweza kujitokeza haswa ukimsemea nwanajamii methali kisha naye akutajia iliyo na maana kinyume, huenda suluhu ya mnachozungumzia ikakosekana. Hali hii ndiyo ilimsukuma mtafiti akitaka kubainisha namna wanajamii wanavyochukulia kuwepo kwa ubishi katika methali za Kiswahili, ikizingatiwa kwamba methali hizi hutumika kila mara na wanajamii katika mazungumzo, nyimbo na hata katika uandishi.

Authors and Affiliations

Mbusya Mutei Catherine, Chomba Esther

Keywords

Related Articles

THE INFLUENCE OF INSTRUCTIONAL SUPERVISION BY QUALITY ASSURANCE AND STANDARDS OFFICERS ON TEACHERS INSTRUCTIONAL COMPETENCES IN SCHOOLS

The primary function of external instructional supervision of teachers is to establish the status of instruction among teachers and consequently improve it. The gist of this study was to examine the influences that instr...

THE EXISTANCE OF GAYONESS WATER-PITCHER DURING AND AFTER ARMED CONFLICT IN SOCIAL CONTEXT.

The goal of this research is to know the existance of Gayoness water pitcher in society after armed conflict that happened in Aceh Province between Aceh Freedom Movement (GAM) and Indonesia Army (TNI). This research use...

DOCUMENTATION OF ETHNOMEDICINAL PLANTS USED FOR MATERNITY CARE BY THE PAITE TRIBE OF MANIPUR, NORTH-EAST INDIA.

This paper aims to study about the ethnobotanically important plants used by the Paite tribe of Manipur, India. The present work is an effort to document and explore various therapeutic applications of plants used during...

A COMPARATIVE STUDY TO ASSESS THE LONELINESS AMONG ELDERLY MEN AND WOMEN IN SELECTED RESIDENTIAL AREAS OF DELHI WITH A VIEW TO DEVELOP AND DISSEMINATE AN INFORMATION BOOKLET ON COPING WITH LONELINESS.

Loneliness has long been identified as problem associated with old age and denotes a lack of quantity and quality of social contacts. It is a state in which one experiences a powerful feeling of emptiness and isolation....

THE EFFECT OF COMPENSATION, COMPETENCE, AND TALENT MANAGEMENT ON EMPLOYEES PERFORMANCE OF THE IKATAN MOTOR INDONESIA.

As a facilitator of the sports industry, Ikatan Motor Indonesia (IMI) should be supported by qualified resources so that the human resource management technique can be run properly and correctly. Based on primary and sec...

Download PDF file
  • EP ID EP410319
  • DOI 10.21474/IJAR01/7945
  • Views 52
  • Downloads 0

How To Cite

Mbusya Mutei Catherine, Chomba Esther (2018). MIELEKEO YA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TATU NA CHA NNE KUHUSU METHALI KINZANI: UCHUNGUZI KATIKA SHULE ZA UPILI KATIKA KATA YA TOWNSHIP, KAUNTI YA KITUI; KENYA.. International Journal of Advanced Research (IJAR), 6(10), 1374-1381. https://www.europub.co.uk/articles/-A-410319