UKOPAJI WA LUGHA: ETIMOLOJIA NA MABADILIKO YA MAANA NA UTAMKAJI WA MSAMIATI WA KIARABU KATIKA KISWAHILI.

Journal Title: International Journal of Advanced Research (IJAR) - Year 2019, Vol 7, Issue 9

Abstract

Pindi wazungumzaji wa lugha mbili wanapotagusana na kuingiliana basi moja kwa moja lugha hizo huweza kukopana na kuathiriana kifonolojia, kimsamiati na kisarufi. Waarabu walipofika pwani ya Afrika Mashariki, walikumbana na Waswahili na hapo ndipo Kiswahili kikakopa maneno na sauti za kiarabu ambazo hazikuwepo katika lugha ya Kiswahili. Pili, Kiswahili pia kikachukua baadhi ya sauti za kiarabu na kuzibadili jinsi zinavyotamkwa. Makala haya yanatafiti na kuainisha etimolojia ya baadhi ya maneno ya kiarabu yanayopatikana katika lugha ya Kiswahili na jinsi sauti za kiarabu zilivyokopwa na kubadilishwa na kuswahilishwa.na pili namna baadhi ya maneno yalivyobadilishwa maana asilia baada ya kukopwa kutoka lugha ya Kiarabu. Nadharia za mfumo na semantiki tambuzi za msamiati zilitumika.

Authors and Affiliations

Hamisi Babusa.

Keywords

Related Articles

WHEN A SEBORRHEIC KERATOSIS SHOWS ITS CLAWS?!

Seborrheic keratoses are frequent and benign cutaneous tumors; their malignant transformation is rare but well known and increased by the immunosuppression of patients. We report three cases that illustrate this risk of...

IMMUNOPATHOGENESIS OF ENTAMOEBA HISTOLYTICA AT NEWLY DIAGNOSED MALE PATIENTS, IN THE EASTERN REGION OF IRAQ.

This study aims to investigate the effect of Entamoeba histolytica infection on the cellular immunity of the patients, through measuring the following immune markers: IL-1α, IL-2 and IL-8 during acute amoebiasis, and to...

KHAT CHEWING PRACTICE ITS PERCEIVED HEALTH EFFECT AND ASSOCIATED PROBLEMS WITH KHAT CHEWING AMONG COMMUNITIES OF CHIRO TOWN.

Khat is found in the evergreen tree or large shrub consists of whole rash leaves and buds of a plant known as Catha edulis. It is an indigenous tree to Ethiopia, Kenya, and more than 20 different compounds are fund in kh...

GENESIS OF KASHMIR PROBLEM AND POSSIBLE SOLUTIONS.

Right before the independence of India and Pakistan, princely states were given an option to merge either of the two dominions. One among the states, Kashmir failed to make the decision till raiders entered the area and...

KUVALAYA VIS-A-VIS MONOCHORIA VAGINALIS PRESL. AND NYMPHAE STELLATA WILLD.: A REVIEW ON SOURCE IDENTIFICATION.

India has a rich lineage of biological diversity both in terms of flora and fauna. Ayurveda explores such diversity in a sustainable way for the benefit of mankind. The classical literature of Ayurveda describes many imp...

Download PDF file
  • EP ID EP654950
  • DOI 10.21474/IJAR01/9635
  • Views 72
  • Downloads 0

How To Cite

Hamisi Babusa. (2019). UKOPAJI WA LUGHA: ETIMOLOJIA NA MABADILIKO YA MAANA NA UTAMKAJI WA MSAMIATI WA KIARABU KATIKA KISWAHILI.. International Journal of Advanced Research (IJAR), 7(9), 101-105. https://www.europub.co.uk/articles/-A-654950